ICE FM RADIO TZ
Sunday, July 23, 2017
Saturday, January 31, 2015
Monday, January 6, 2014
MAELFU WAMZIKA DR.MGIMWA.
Naibu spika Job Ndungai akiweka mchanga katika kaburi ya Dr Mgimwa |
Mjane wa Dr Mgimwa akiaga mwili huo kabla ya mazishi kijiji cha Magunga Iringa leo |
Mwili wa Dr Mgimwa ukishushwa kaburini leo |
Wabunge Deo Sanga wa jimbo la Njombe Kaskazin kushoto na Deo Filikunjombe wa Ludewa |
rais Kikwete na mkewe wakiweka shada la maua |
CUF HAIHUSIKI NA NJAMA ZOZOTE DHIDI YA CHADEMA KWENYE SAKATA LA ZZK;
Wadau,
waandishi wengi wa habari wananipigia nithibitishe ikiwa CUF iliandaa
makundi ya wanachama wakamshabikie ZZK mahakamani leo hii. Taarifa ya
namna hii pia imeenea mitandaoni.
Pia
viongozi kadhaa wa CHADEMA wamenipigia kunijulisha kuwa Intelijensia
yao imegundua kuwa vijana wa CUF wamepenyezwa na kwamba wamevushwa
T-SHIRT za M4C na mapanga.
Napenda
kuwajulisha wadau wote kuwa CUF haijapanga wala kutuma makundi ya
vijana kwenda kumshabikia ZZK. Ikiwa pana wanachama wa CUF wameonekana
mahakamani itakuwa wamekwenda kwa Utashi na Matakwa yao.
Sisi
chama Taifa hatujawahi kukutana, kupanga wala kutuma vijana wa CUF
wakasimamie upande wowote katika mgogoro huu. Wakati wa fukuto la HAMAD
RASHID na CUF watu wengi tu raia walifika mahakamani, sie hatukuwa
kuhoji na kutafuta vyama vyao, tuliamini ni watanzania tu.
Ni
ushauri wangu kuwa, panapokuwa na kesi inayovuta hisia za watu
haitajalisha watu hao wanatoka makundi gani, mwenye kutaka kwenda
atakwenda tu.
Ni
vigumu kwa chama chetu kukataza wanachama wake wasihudhurie kesi ya
Babu Seya, ya Sheikh Ponda, ya Zitto Kabwe, ya Samaki wa magufuli n.k.,
Unapokuwa na chama chenye mamia elfu ya wafuasi si rahisi kujua mfuasi
yupi yuko wapi kwa wakati gani anafanya nini na ametumwa na nani.
Lakini
kwa ajili ya kujenga mshikamano wa vyama vyetu, tunachunguza taarifa
hizo ili kubaini kama ni kweli palikuwa na wanachama wetu mahakamani na
tukiwabaini tutawahoji na kujua nani aliyewatuma na tutaona hatua za
kuchukua.
Ikumbukwe
kuwa mwenyekiti wa chama chetu taifa Prof. Lipumba wakati akisoma
maazimio ya kikao Cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa mwezi Desemba mwaka
jana alieleza kuwa Baraza Kuu la CUF linawaomba CHADEMA wamalize
mgogoro wao haraka ili tuwekeze nguvu za upinzani katika kuunganisha
umma kutafuta katiba ya watanzania katika bunge la katiba, Msimamo wa
CUF ni kutokuwa na upande katika mgogoro huu.
Tunatoa
wito kwa viongozi wa CHADEMA kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi na
usalama iwapo wataona au kuhisi kuna mwananchi au mfuasi wa chama chetu
amejiingiza katika mgogoro wao na kwamba amehatarisha amani ili sheria
ichukue mkondo wake.
CUF
itaendelea kuiheshimu CHADEMA kama taasisi inayojitegemea. Hatukuwahi
kuingilia, kushabikia wala kupinga masuala na maamuzi ya ndani ya
CHADEMA, tukiona pana jambo linatugusa mara zote huwa tunatoa ushauri
wetu tu na sio kuingilia masuala ya ndani ya vyama vingine.
______________________________ __
Julius Mtatiro,
National Deputy Secretary General,
The Civic United Front(CUF),
Tanzania Mainland,
P.O Box 10979,
Dar Es Salaam.
Phone; +255717536759,
Email; juliusmtatiro@yahoo.com
Twitter; https://twitter.com/Julius_ Mtatiro
RADIO ICE FM 99.3MHz
PROFILE
Radio ICE FM is wholly owned by
indigenous Tanzanians and transmits its programmes from Mjimwema in Njombe
District where is primarily founded. The company “Ice Intertainment and Promotion Co.Ltd” was incorporated in 3rd
March 2012 with registration number 86136.
Registration of this Radio station is in line with the national policies and
laws that made room liberalization of media and publicity industry from early
1992.
Since its lawfully authorized
inception to broadcast to date, Radio ICE FM has consistently broadcast
programmes to the targeted audience within the specified frequencies or
boundaries in Kiswahili. Radio ICE FM is a 24 hours broadcasting services.
Radio ICE FM is licensed by
Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) as commercial service
broadcaster with a mandate to provide service from base station in Makambako.
The coverage of Radio ICE FM is spreading, in the former media undeserved areas
of Makambako, Njombe,Makete, Mafinga, rural Iringa,Kilolo District,Wanging’ombe
district, Chimala(Mbeya),Mbalali (Mbeya), ,. The coverage spreads to the parts
of , Ulanga District(Morogoro), Mpwapwa (Dodoma), and Manyoni (Singida) within
six regions and powered by 1 kW transmitters in Mama Clementina Hill –
Makambako. It is of interest to note that in the area of Mchuchuma and Liganga,
mining sites with prospects of massive industrial activities in the nearest
future. Our equipment out-perform other broadcasters in similar category
reaching ten (10) districts spanning six regions of Njombe,Iringa, Mbeya ,Dodoma,Singida
and Morogoro.
From the above facts, it is
undoubtedly clear that Radio ICE FM is one of few radio stations with the real
touch of the community and broadcasting from Small Township to bigger townships
and localities which makes it unique in its class.
Radio ICE FM technical
secretariat derives its visions and guidance from the Board of Directors which
is currently led by the Board Chairperson. The secretariat is led by the Manager
who is supported by key technical personnel of presenters, DJs, producers,
editors, programmer and others. Management has the responsibility of complying
with the rules and regulations as provided by TCRA.
FORMAT AND BROADCASTING
Radio ICE FM
broadcasts in Kiswahili, 24 hours a day. It has a range of routine programs
comprising of music coupled with extensive news and features coverage.
Radio ICE
FM, P. O. Box 188, Iringa. e-mail: icemedia8@gmail.com mob. +255 753 808722
National news is 21.00 pm daily. Radio ICE FM news team
compiles local news from Southern Highland zone and other region.The station
has a dedicated team of news reporters equipped to obtain some live local
events outside the station. Features content focusing community development and
empowerment of women and other periphery groups like children and disabled,
environmental issues etc. Programmes on HIV/AIDS education are given greater
emphasis. Peak audience periods are between 6am – 9am and 18pm – 21pm. News and
sports content is sourced from a range of domestic and international sources
including Voice of America who are our partner broadcaster.
TECHNICAL CAPACITY
ICE FM has
the capacity to produce Radio programs both in the field and post production
suites at Mjimwema studios. This is made possible by deployment to the field of
very portable audio recording equipment. This equipment is easy to operate leaving the
presenter or resource person to concentrate on the contents of the recording.
The recorded material is then brought back to the studios for post-production
where it is edited to remove unsuitable material and condensed to fit the
program duration. Sound effects and signature tunes are also added and the
whole program packaged using digital technology. The digital technology
consists of non-linear editing equipment using the best audio editing software.
The broadcast studies are integrated and equipped with computerized music and
format control systems. In addition, we have integrated production facilities
capable of content storage and retrieval. The production team produces all
program imaging in house as well as offering advertisers production facilities.
Radio ICE
FM, P. O. Box 188, Iringa. e-mail: icemedia8@gmail.com mob. +255 754605723
Subscribe to:
Posts (Atom)